Sunday 9 October 2016

JOSHUA CHOME WA PWANI RADIO

Joshua Chome wa PWANI Radio 107.7fm ndiye alifanya interview kwa CATHERINE MKOMA na YVONNE ANTHONY Hapo Jana na Amesema amefurahishwa na Kipaji kizuri alichonacha YVONNE ANTHONY ambaye leo atazindua ALBUM yake na Kufurahishwa pia na Kazi nzuri sana Kutoka kwa Mwimbaji wa nyimbo za injili  Tanzania CATHERINE MKOMA.

0 comments: