Monday 10 October 2016

CATHERINE MKOMA ASEMA MACHACHE KWA WAIMBAJI WA KENYA.

Asante sana ndugu zangu wa Kenya-mombasa kwa upendo na ukarimu wenu pia na wapongeza waimbaji wa nyimbo za injili Kenya kwa kujitoa kuja kuungana pamoja na YVONNE ANTHONY ambapo hapo jana alifurahia uzinduzi wa Album yake Mungu Baba yangu wa Mbinguni awapigishe atua nyingine nyingi zaidi.
GOSPEL ARTIST TANZANIA CATHERINE MKOMA.

0 comments: