Tuesday 25 October 2016

CATHERINE MKOMA AIMBA PAMOJA NA AMBWENE MWASONGWE KATIKA UZINDUZI WA MWAMIN.

Wakati Ambwene Mwasongwe akiimba katika Uzinduzi wa Mwamin Muyero Catherine Mkoma ni mmoja wa waimbaji waliokuwa wakimpa support Mwimbaji nguli wa nyimbo za gospel hapa Tanzania mtumishi wa Mungu Ambwene Mwasongwe bila kumsahau Mwamin naye alikuwepo pamoja na waimbaji wengine wengi.

0 comments: