Wednesday 26 October 2016

CATHERINE MKOMA NA MARTHA MWAIPAJA WAPATA MUALIKO MJINI DODOMA.

Mtumishi wa Mungu Nabii LINUS TESHA awaalika CATHERINE MKOMA na MARTHA MWAIPAJA katika Kongamano kubwa la Kinabii.uponyaji pamoja na miujiza lililoanza hapo tarehe 25.10.2016 mpaka 30.10.2016 na hili kongamano limeuzuliwa na waimbaji toka sehemu mbalimbali hapa nchini Tanzania kama mbeya,na iringa.Mungu ni mwema watu wamempa Yesu maisha yao.

0 comments: