Tuesday 25 October 2016

CATHERINE MKOMA AKIIMBA NGOME ZIMEANGUKA KATIKA UZINDUZI WA MWAMIN JUMAPILI ILIYOPITA.

Catherine Mkoma ni moja ya waimbaji Toka Tanzania waliopata fursa na heshima ya pekee kualikwa katika uzinduzi wa Album mpya kabisa ya NIMEPATA PUMZIKO toka kwa mwanadada Mwamin muyero na siku hiyo ya uzinduzi Catherine mkoma aliimba ngome zimeanguka huku akipata support ya uchezaji toka kwa mwamin na wengine.Hakika Mungu ni mwema.

0 comments: