Sunday 16 October 2016

CATHERINE MKOMA AALIKWA KUIMBA KWA NABII MALISSA.




Ilikuwa siku ya Pekee na fursa kubwa kwa CATHERINE MKOMA Kuimba katika mkutano mkubwa wa kinabii Uliofanywa na Mtumishi wa Mungu Nabii BG MALISSA uliofanyika jijini Dar es Salaam katika viwanja vya Tanganyika pekaz-kawe. 

0 comments: