
Catherinemkomatz@gmail.com +255715570457 +255766216476
Wakati Ambwene Mwasongwe akiimba katika Uzinduzi wa Mwamin Muyero Catherine Mkoma ni mmoja wa waimbaji waliokuwa wakimpa support Mwimbaji nguli wa nyimbo za gospel hapa Tanzania mtumishi wa Mungu Ambwene Mwasongwe bila kumsahau Mwamin naye alikuwepo pamoja na waimbaji wengine wengi.
Catherine Mkoma yuko mbioni kuisambaza Album yake ya Sitasahau Wema Wa Mungu Africa yote kwa sasa sehemu kubwa ya Tanzania imeshaenea na Baadhi ya maeneo ya East Africa,marafiki wote wa Catherine mkoma ambao hamjapata Album mda simrefu mtaipata hapo hapo ulipo.
Kwa Sasa Ipo Madukani Unaweza Kuipata kwa nambari 0715570457 Au 0713040730. Catherinemkomatz@gmail.com
Nyimbo ya Collabo ya SINA MWINGINE ZAIDI YAKO BWANA iliyofanywa KENYA-MOMBASA na CATHERINE MKOMA huku akishirikiana na YVONNE ANTONY na ELIZABETH ANTONY Iko mbioni Kutoka na Baadae Video itafuata.KENYA GET READY......!
Kwasasa napatikana Facebook kwa jina la CATHERINE MKOMA, Instagram;-@Catherinemkoma,twitter:-@Catherine_mkoma,Youtube:-Catherine Mkoma